ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, August 18, 2017

HASFU BARBERSHOP YA JIJINI MWANZA YATIMIZA MWAKA MMOJA

 Ile barbershop 'matata' jijini Mwanza inayokwenda kwa jina la Hasfu Barbershop, inayopatikana pande za Misheni Kirumba jijini Mwanza barabara ya Penda hatimaye imetimiza mwaka mmoja sasa.

Wadau wafanyakazi wa barbershop hiyo wamekutana katika hafla fupi iliyofanyika The Cask jijini hapa na kupata chakula, muziki mkaliii toka Jembe DjZ, mvinyo kidogo na ku-share matukio kadhaa muhimu kwa kumbukumbu ikiwa ni pamoja na kuhamasishana kuendeleza moto wa kuwahudumia kwa wateja kwa kiwango cha juu kama ilivyo jadi.
 Wafanyakazi wa Hasfu Barbershop wakikata keki.
 Kata kata......
 Woyoooooo........!!
 Mkurugenzi wa Hasfu Barbershop Mr. Hamis akilishwa keki na mmoja wa mamemba wa naohudumiwa na kitega uchumi chake hicho kinachotimiza mwaka sasa katika utoaji huduma.
 One of the sisters......
 Nawe onja utamu wake.
 Nyakati za mboga saba na kujisevia.
 Chakula kitamu pande za The Cask Mwanza Tanzania.
 The menu mezani.
 Hafla ilifana sana.
 Ikisaotiwa na mazingira mazuri hafla ilinoga sana.
 Ni mwendo wa kugonga glass...
 ChiaaaaaaaaaZ.....!!
 Flowers.
Huduma zikiendelea na utunzaji wa kumbukumbu ulifanyika 'haflani'

HAPPY BIRTHDAY HASFU BARBERSHOP

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.